Follow

Wenger: "Lengo ni kuifunga Man United si Jose Mourinho"

Arsene Wenger aliwahi kusema ukimpa mjinga cheo unazidi kumfanya mpumbavu zaidi, akimaanisha Mourinho - sasa amesema ataifunga United si Mou
Arsene Wenger bosi wa Arsenal amedai kuwa lengo ni kucheza dhidi ya timu badala ya meneja kuelekea mechi ya Jumamosi Ligi Kuu Uingereza dhidi ya Manchester United.
Mfaransa huyo amekuwa na uhusiano wenye kupishana dhidi ya mpinzani wake katika matukio kadhaa wakati Mourinho akiwa meneja wa Chelsea.
Instagram Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment

picture of the week

picture of the week

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA