Follow

MAJANGA KWA MZEE WENGER BELLERIN KUIKOSA MECHI DHIDI YA MAN U

Meneja wa Arsenal Arsene Wengeramethibitisha kwamba Hector Bellerin anatarajiwa kuwa nje kwa wiki nne baada ya kupata majeraha katika mchezo dhidi ya Tottenham.

Beki huyo wa kulia Mhispania aliumia kifundo cha mguu wakati wa mchezo dhidi ya Spurs uliomalizika kwa sare ya bao 1-1 kabla ya kupisha mapumziko ya mechi za kimataifa.
Katika mkutano na wanahabari leo Wenger amesema: “Hector atakuwa nje kwa wiki nne. Alipata majeraha sekunde kumi tu kabla ya mchezo dhidi ya Spurs kumalizika.”
Kwa hali hiyo Bellerin ataukosa mchezo wa Ligi Kuu ya Uingereza dhidi ya Manchester Unitedunaotarajiwa kufanyika Jumapili ya wikiendi hii katika Uwanja wa Old Trafford.
Instagram Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment

picture of the week

picture of the week

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA