Follow

Lwandamina amrejesha Busungu kundini Yanga

Mshambuliaji wa Yanga Malimi Busungu amerejea kundini baada ya kocha mpya kusaini mkataba mpya wa miaka miwili kushika hatamu Jangwani
Baada ya klabu ya Yanga kuingia mkataba wa miaka miwili na kocha George Lwandamina mshambuliaji Malimi Busungu, ameamua kurudi kundini baada ya awali kukata tamaa kutokana na kusota benchi.
Busungu ameiambia Goal, amejipanga kurudi kwani aliondoka baada ya kuchoka kukaa benchi chini ya utawala wa kocha Hans van der Pluijm.
Instagram Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment

picture of the week

picture of the week

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA