Follow

Mkhitaryan Mchezaji wa Mwaka wa Armenia

Henrikh Mkhitaryan ametwaa tuzo ya mchezaji bora wa nchi yake kama thawabu ya kiwango kikubwa alichoonyesha kwa nchi na klabu zake
Kiungo wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan amekiri kuwa amepania kuweka historia katika klabu hiyo baada ya kujihakikishia nafasi kwenye kikosi cha timu hiyo.
Nyota huyo raia wa Armenia katika umri wa miaka 27, amekuwa mchezaji bora wa mwaka wa taifa lake kwa mara ya sita mfululizo Jumatano mchana, kufuatia kiwango chake safi cha 2015/16 akiwa Borussia Dortmund kabla ya kutua Old Trafford majira ya joto.
Mkhitaryan, ambaye tayari ameshashinda tuzo binafsi mara saba, anatumaini kuendelea kutisha Manchester United miezi ijayo na miaka ili aweze kukuza jina lake katika klabu hiyo chini ya uongozi wa meneja Jose Mourinho.
Instagram Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment

picture of the week

picture of the week

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA