Follow

Wafuasi wa Donald Trump wakamatwa Uganda

Maafisa wa polisi nchini Uganda wamewakamata vijana wawili waliokuwa wakimfanyia kampeni mgombea wa urais nchini Marekani Donald Trump katika ubalozi wa Marekani mjini Kampala.
Mtandao unaounga mkono serikali Chimp Riports umesema kuwa Vijana watano wa kundi la Young Democrats nchini humo walijaribu kuingia katika ubalozi wa Marekani.
Gazeti la Daily Monitor limechapisha ujumbe wa Twitter likionyesha picha za waandamanaji hao.
Wafuasi hao wa Trump waliambiwa na maafisa wa polisi kwamba hawataruhusiwa ndani ya ubalozi kwa sababu walikuwa hawajapata rukhusa,kulingana na mtandao wa Chimp Report.
Trump katika manifesto yake alisema kuwa atakabiliana na marais waliohudumu kwa muda mrefu kutoka Afrika akiwemo rais Museveni.
''Lazima tuonyesha umoja wetu na Trump'',Hakim Kizza ,mmoja wa wanachama wa kundi hilo alinukuliwa akisema.
Instagram Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment

picture of the week

picture of the week

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA