Follow

VIDEO: Jux aeleza sababu za kwanini Diamond hampost Instagram…

Kazi yangu nikuhakikisha nakusogezea kila stori inayonifikia mtu wangu na leo October 18 2016 ni hii stori kutoka kwa Jux ambae amefunguka kuhusu  sababu za kwanini Diamond Platnumz hapost kazi zake instagram.
Staa huyo ameipa heshima millardayo.com & Ayo TV na kuyaongea haya>>>’Kiukweli niongee ukweli ni kwamba sijawahi kumtumia cover ya wimbo wangu wala yeye hajawahi kunitumia cover ya wimbo wake mimi uwa nina list ya watu kadhaa kwenye simu yangu kuna baadhi ya wasanii ambao nipo nao karibu ninawatumia kwahiyo Diamond sijawahi kumtumia na kulalamika kwamba apost kazi zangu’
‘Mara ngapi umeona post moja inajirudi zaidi ya mara 10 au  mara 20 yaani sio vitu ambavyo fulani ajakupost  basi ndio ukasirike naomba kusema sijawahi kufanya hivyo na kwa upande wangu mtu anapostahili kupostiwa basi nitampost kwani huyo mtu anahitaji kupewa pongezi kafanya kitu fulani’

<iframe width="640" height="360" src="https://www.youtube.com/embed/GkEFifmfZas" frameborder="0" allowfullscreen></iframe>
Instagram Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment

picture of the week

picture of the week

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA