Octavio Ngenzi na Tito Barahira walikutwa na hatia ya uhalifu dhidi ya binadamu na pia kusaidia na kupanga mauaji ya watu wa jamii ya watutsi katika vijiji vyao upande wa Mashariki mwa Rwanda.
Ni kesi ya pili kuamuliwa nchini Ufaransa dhidi ya watu wanaotuhumiwa kushiriki katika mauaji hayo ya kimbari.Octavien Ngezi alikuwa Meya wa Kabarondo. Tito Barahira alikuwa mtangulizi wake katika nafasi hiyo.


0 comments:
Post a Comment