Follow

Mameya wawili Rwanda wahukumiwa

Octavio Ngenzi na Tito Barahira walikutwa na hatia ya uhalifu dhidi ya binadamu na pia kusaidia na kupanga mauaji ya watu wa jamii ya watutsi katika vijiji vyao upande wa Mashariki mwa Rwanda.
Ni kesi ya pili kuamuliwa nchini Ufaransa dhidi ya watu wanaotuhumiwa kushiriki katika mauaji hayo ya kimbari.Octavien Ngezi alikuwa Meya wa Kabarondo. Tito Barahira alikuwa mtangulizi wake katika nafasi hiyo.
Instagram Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment

picture of the week

picture of the week

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA

NI LIVERPOOL DHIDI YA WTAKATIFU MANE KUKUTANA NA TIMU YAKE KWA MARA YA KWANZA